Friday 22 July 2016

HEALTHY DRINKING PART 2

WELCOME TO THE PARTY OF THE PART 2 OF HEALTHY DRINKING
Constantine Ntanguligwa(MD student Muhimbili university of health and allied sciences)
2017hrs 22nd July 2016

Hello, welcome to free healthy information. Its your right to be informed. We shall end the week this time with our part two about healthy dinking of which since part one we had four main objectives which are:
1.WHAT IS THE HEALTHY AMOUNT OF ALCOHOL CONSUMPTION?
2.WARNING TO OUR NUTRITION WHILE WE DRINK
3.A TIME WHEN DRINKING CAN BE LIFE THREATENING
4.GOUT PROBLEM AFTER DRINKING AND CONSUMING MEAT

Today we will finish the remaining two.

Karibu tuzungumze,

Kuna haka kaugonjwa kanaitwa "gout" kwa lugha ya kitaalamu. Ugonjwa huu hutupata sana sisi tunaokunywa vilevi.
Naomba ieleweke wazi kuwa ugonjwa huu hausababishwi na Kinywaji chako, bali ni kutokana na mkusanyiko mkubwa wa "Uric acid" kwenye viungo(joints) hasa miguuni.
Uric acid ni kemikali inayopatikana kutokana na mwili ku digest nyama. Hivyo mtu akila nyama kupita kiasi anauwezekano mkubwa wa kupata ugonjwa huu.

INAHUSIANA VIPI NA KILEVI?
Mara nyingi sisi tunaokunywa hivi vinywaji vyetu, tunasindikiza na nyama choma. Sasa pombe kama chanzo kinaweza kusababisha ukala nyama na kusababisha mkusanyiko mkubwa wa Uric acid kwenye viungo vyako. Mkusanyiko huu unategemea sana na uwezo wa mwili wako wa kuvumilia mkusanyiko huo hivyo hutegemeana na mtu na mtu na hali ya mwili wako.
Hivyo, unywapo kinywaji chako unashauriwa kuangalia kiasi cha nyama unayokula.

Ugonjwa huu huanza kusikika na mtu hasa asubuhi ukiamka unahisi maumivu makali kwenye viungo vya mwili. Ikikupata hali hii usiogope na dawa ipo na unatibika vizuri tu. Muone daktari atakupatia dawa.

WAKATI WA HATARI YA MAISHA KUNYWA POMBE:
Pombe(alcohol), ni "dehydrating agent", yani ni kitu amabcho kikiingia mwilini kina ushawishi mwili kupoteza maji mara nyingi kwa mkojo (diuretic,diuresis).
Wakati wa joto kali ambapo umepoteza maji mengi mwilini kwa jasho au baada ya kufanya mazoezi au kazi iliyokufanya utoe jasho jingi na kupoteza maji mwilini haishauriwi kabisa unywe kilevi.
Hii ni kwasababu, utafanya mwili upoteze maji zaidi na unaweza kusababisha kitu tunaita "circulatory shock". Hii hali ni hatari kwa maisha yako kwani inapunguza damu sehemu muhimu kama kwenye ubongo au figo na huwenda ikasababisha madhara makubwa ambayo huweza kuhatarisha maisha(life threatening).

Otherwise niwatakie weekend njema. Tukutane tena jumatatu kuongelea kuhusu mambo yetu ya kiafya.

JUST REMEMBER, EXCESSIVE DRINKING BEYOND SAFE LEVELS(REFER TO PART ONE) HAS A HIGH RISK OF DEVELOPING LIVER DISEASE(CIRRHOSIS), A VERY DANGEROUS DISEASE ALSO SOME CANCERS AND HEALTH PROBLEMS OF ALL KINDS ARE LINKED TO HISTORY OF ALCOHOL BEYOND SAFE LEVELS.

IF YOU ARE TRYING TO LIMIT TO SAFE LEVELS AND YOU FEEL YOU ARE FAILING. SEE A DOCTOR (MAY BE A SIGN OF ADDICTION)

ON MY WAY TO TAKE MY TWO BOTTLES OF CASTLE LITE TO MEET REQUIREMENTS OF THE DAY... 


PLEASE DRINK RESPONSIBLY. 

Until next time

No comments:

Post a Comment